Skip to main content

Kwa Nini Mtoto Wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani (Swahili Edition) - 9781088089590

No reviews yet
Product Code: 9781088089590
ISBN13: 9781088089590
Condition: New
$16.40

Kwa Nini Mtoto Wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani (Swahili Edition) - 9781088089590

$16.40
 
Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.





Author: Grace Zuzo
Publisher: Grace Zuzo'S Books
Publication Date: Jan 26, 2023
Number of Pages: 32 pages
Language: Swahili
Binding: Paperback
ISBN-10: 1088089593
ISBN-13: 9781088089590
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day