Skip to main content

Createspace Independent Publishing Platform

Karamu YA Arusi YA Mwana Kondoo

No reviews yet
Product Code: 9781494860707
ISBN13: 9781494860707
Condition: New
$10.40

Karamu YA Arusi YA Mwana Kondoo

$10.40
 
Language: Swahili, Lugha: Kiswahili

Kitabu hiki kina maneno ya unabii kutoka kwa Yesu KUHUSU HIVI KARIBUNI UNYAKUO. Baadhi ya vichwa SURA katika kitabu hiki:

Unyenyekevu, msamaha, kuishi katika dunia, lakini si kuwa "Kati ya Dunia," Rapture na karamu ya arusi ya Mwanakondoo, kujiandaa kwa ajili ya Unyakuo, Tamaa Kwa Dunia, Viongozi Je, huwezi kunifuata, kufanya maandalizi, Acha kupambana na kila mengine, mimi si kuchukua wewe kama una asiyetubu dhambi, milele yako ni Mizani, wachache sana wananiabudu Mimi, wala Tubuni kwangu, mimi Wanataka nafasi ya kwanza Au No Place, kuna dhiki kuu ijayo, wengi ambao wanadhani wenyewe tayari wanajidanganya wenyewe, una thamani kidogo wakati iliyobaki.

Maneno ya unabii kutoka kwa Yesu kuhusu ndoa Karamu ya Mwana Kondoo:

Kutakuwa na vitu vingi vyema sana mbele kwa wanangu watakaonyakuliwa. Acheni niwaonyeshe kidogo tu vile itavyokuwa: Wanangu watakapofika, watalakiwa na wapendwa wao: familia na marafiki wale tayari wako mbinguni. Nitakuwa nikiwatazama. Huu utakuwa wakati wa utukufu mkuu. Ni tunu ilioje kuungana na familia ulioikosa muda mrefu! Kisha wanangu watapelekwa hadi kwenye karamu ya arusi ya Mwana Kondoo. Nitawaongoza kwenye karamu hii.

Meza itaandaliwa kwa vitu tele. Vikorokoro vyote vitakuwako. Kila jambo kuhusu karamu hii litakuwa la kuwastaajabisha. Wanangu watakaa katika sehemu iliyoandaliwa kila mmoja wao na majina yao yatakuwa yameandikwa kwenye sehemu hiyo kwa dhahabu. Vyombo vyote vitakuwa vya dhahabu vilivyopambwa na vito. Kitambaa cha mezani kutakuwa cha hariri, na nyuzi za dhahabu. Nuru itang'aa na vikombe vyote vitakuwa vya dhahabu vilivyolainishwa na vito ukingoni.

Kutakuwa na zawadi kwa kila mmoja pahali watakapoketi. Zawadi hii itakuwa ni kumbusho la uhusiano wangu na huyo mwanangu. Kila zawadi itatofautiana na nyingine. Kila zawadi itakuwa na maana yake kwa kila mwana kuonyesa uhusiano wangu naye. Kutakuwa na vitu vingi vya kustaajabisha siku hiyo - siku ya karamu ya arusi yangu.


Author: Susan Davis
Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
Publication Date: Dec 31, 2013
Number of Pages: 132 pages
Binding: Paperback or Softback
ISBN-10: 1494860708
ISBN-13: 9781494860707
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day