Skip to main content

East of Eden - Swahili Edition : Kuishi ndani ya kivuri cha Bustani: Somo la Mwanzo 4:16

No reviews yet
Product Code: 9781927998403
ISBN13: 9781927998403
Condition: New
$8.61

East of Eden - Swahili Edition : Kuishi ndani ya kivuri cha Bustani: Somo la Mwanzo 4:16

$8.61
 
Kwa namna yoyote ile historia ya Kaini katika kitabu cha Mwanzo 4:16 ni historia yetu. Ni historia ya uhasi wa mtu na aliye kuwa mbali na uwepo wa Mungu. Kama tunavyo muona Kaini akiondoka katika uwepo wa Mungu inatusaidia kujua jinsi gani majaribu yetu yanatuweka mbali na ukamilifu wa baraka za Mungu . Tunatambua jinsi gani tunapambana na vivutio vya ulimwengu na mioyo yetu yenye dhambi. Kifungu hichi, kwanamna nyingine, ni zaidi ya historia ya uhasi wa Kaini. Bali ni ufunuo wa moyo wa Mungu juu ya watu wake kwa ujumla. Tuliumbwa kuishi kwenye Bustani ya Edeni. Lakini dhambi ikaondoa haki ya sisi kukaa katika ukamilifu wa Edeni, Bwana wetu Yesu kristo amerudisha haki hii kwa kifo chake na kufufuka kwaajili yetu. Baraka na haki za Edeni zipo kwa mtu yeyote atakae pokea msamaha kupitia Bwana Yesu.


Author: F. Wayne Mac Leod
Publisher: Light to My Path Book Distribution
Publication Date: Aug 29, 2024
Number of Pages: NA pages
Language: Swahili
Binding: Paperback
ISBN-10: 1927998409
ISBN-13: 9781927998403
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day