Skip to main content

If My People - Swahili Edition : Mpango wa Mungu kwa Upya na Uponyaji wa Nchi Yetu

No reviews yet
Product Code: 9781927998427
ISBN13: 9781927998427
Condition: New
$9.30

If My People - Swahili Edition : Mpango wa Mungu kwa Upya na Uponyaji wa Nchi Yetu

$9.30
 
Katika kipindi ambacho tunaangalia mipango mipya na mbinu ya kudumisha masilahi na kusababisha makanisa yetu yakue, ni rahisi kukosa urahisi wa kile Mungu anawaambia watu wake katika vifungu hivi. Afya ya makanisa yetu na uzima wa kiroho hautegemei juu ya mbinu na mipango mipya, lakini katika kuangalia nyuma kwenye mafundisho rahisi ya neno la Mungu. 2 Nyakati 7:13-14 ni funguo katika afya ya kiroho na kuzaa matunda. Katika vifungu hivi vimeegemea katika majibu ya Mungu kwa maombi ya Sulemani kwa msamaha na kufanya upya baraka kwa watu wake. Katika jibu la maombi ya Sulemani, Mungu alishirikisha mahitaji yake kwa huo msamaha na uponyaji uchukue nafasi. Kusudi la Mungu halikubadilika. Ikiwa unataka kufahamu nini Mungu anahitaji kwa burudisho na kufanywa upya katika maisha yako ya kiroho, hivi vifungu viwili ni ufunguo.


Author: F. Wayne Mac Leod
Publisher: Light to My Path Book Distribution
Publication Date: Sep 12, 2024
Number of Pages: NA pages
Language: Swahili
Binding: Paperback
ISBN-10: 1927998425
ISBN-13: 9781927998427
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day