Skip to main content

Light to My Path Book Distribution

If Your Brother Sins - Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18:15-17

No reviews yet
Product Code: 9781927998441
ISBN13: 9781927998441
Condition: New
$9.40

If Your Brother Sins - Swahili Edition: Uchunguzi Wa Kitabu Cha Mathayo 18:15-17

$9.40
 

Hatupaswi kuyatelekeza matatizo kati ya waumini kama tunavyofanya kwa watoto wetu ndani ya familia zetu. Mara kwa mara hatutakubali kuona jinsi mambo yatakavyoendeshwa. Wakati mwingine tunatenda kwa hasira na kiburi. Haiba zetu hugongana. Watu huumizwa.Maandiko yamejaa mifano mingi ya migogoro kati ya waumini.


Bwana Mungu alijua kwamba jambo hili litaendelea kutokea, hivyo akatoa maelekezo ya jinsi gani tunaweza kulishughulikia jambo kama hili. Kwa upendeleo wa pekee hapa Yesu anatufundisha katika Mathayo 18:15-17. Katika kifungu hiki Yesu anatufundisha jinsi ya kuyashughulikia matatizo yanapotokea.


Mathayo 18 inatoa changamoto ya kuyashughulikia mambo kibinafsi yanapotokea katikati ya mahusiano yetu. Inaelekeza njia iliyo salama kwa ndugu walioanguka ili kupatana na kuwatia moyo waumini wachanga kiroho kuwatia moyo ndugu zao katika nyakati za matatizo.




Author: F. Wayne Mac Leod
Publisher: Light to My Path Book Distribution
Publication Date: Sep 25, 2024
Number of Pages: 70 pages
Binding: Paperback or Softback
ISBN-10: 1927998441
ISBN-13: 9781927998441
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day