Skip to main content

East African Educational Publishers

Dimbwi la Damu

No reviews yet
Product Code: 9789966561541
ISBN13: 9789966561541
Condition: New
$22.39

Dimbwi la Damu

$22.39
 

Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.

Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...




Author: Ben R. Mtobwa
Publisher: East African Educational Publishers
Publication Date: May 16, 1984
Number of Pages: 104 pages
Binding: Paperback or Softback
ISBN-10: 9966561544
ISBN-13: 9789966561541
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day