
East African Educational Publishers
Dimbwi la Damu
Product Code:
9789966561541
ISBN13:
9789966561541
Condition:
New
$22.39

Dimbwi la Damu
$22.39
Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.
Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...
Author: Ben R. Mtobwa |
Publisher: East African Educational Publishers |
Publication Date: May 16, 1984 |
Number of Pages: 104 pages |
Binding: Paperback or Softback |
ISBN-10: 9966561544 |
ISBN-13: 9789966561541 |