
Urim Books USA
Mtu Anayetafuta Baraka za Kweli(Swahili Edition)
Product Code:
9791126312290
ISBN13:
9791126312290
Condition:
New
$13.55

Mtu Anayetafuta Baraka za Kweli(Swahili Edition)
$13.55
Tukitimiza Maneno katika Heri, hatutafurahia tu baraka zote za ulimwengu huu peke yake, kama vile mali, afya, umaarufu, mamlaka, na amani katika jamaa, bali pia tutapata Yerusalemu Mpya kati ya makao mengi ya mbinguni. Baraka inayotolewa na Mungu haiwezi kutingiswa katika aina yoyote ya mambo magumu. Tukitimiza Heri tu peke yake, hatutakuwa na upungufu wowote. Ninaomba kwamba, kupitia kwa hiki kitabu, watu wengi watabadilika na wawe watu wa roho wanaotafuta baraka za kweli na wapokee baraka zote zilizotayarishwa na Mungu. Ninamshukuru Geumsun Vin, mkurugenzi wa halmashauri ya uhariri na wafanyakazi wote.
Author: Jaerock Lee |
Publisher: Urim Books USA |
Publication Date: Oct 19, 2023 |
Number of Pages: 162 pages |
Binding: Paperback or Softback |
ISBN-10: NA |
ISBN-13: 9791126312290 |