SIWACHI KUSEMA: Uhuru U Kifungoni ni diwani ya pili kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, aliyezaliwa na kukulia Zanzibar na ambaye anaishi na kufanya kazi nchini Ujerumani.
| Author: Mohammed Ghassani |
| Publisher: Lulu.Com |
| Publication Date: Sep 26, 2021 |
| Number of Pages: 105 pages |
| Language: Swahili |
| Binding: Paperback |
| ISBN-10: 1470943271 |
| ISBN-13: 9781470943271 |