E & D Vision Publishing Limited
Wacha Mungu Wa Bibi Kilihona
Product Code:
9789987735112
ISBN13:
9789987735112
Condition:
New
$25.76
Wacha Mungu Wa Bibi Kilihona
$25.76
Ni katika mwaka wa 1895, Kilihona alipokuwa msichana wa miaka kumi na tatu, tayari "amekwishagunduliwa" na wazazi wenye wavulana kama mchumba wa kufikiria kuposea watoto wao na uzuri wake tayari umetungiwa nyimbo na wacheza enanga vijana wa sehemu za kwao, ndipo hao Wazungu, wa kabila la Wajerumani, walipoingia kwenye Ufalme wa Ukerewe kwa namna isiyosahaulika.
| Author: Gabriel Ruhumbika |
| Publisher: E & D Vision Publishing Limited |
| Publication Date: 41640 |
| Number of Pages: 396 pages |
| Binding: Fiction |
| ISBN-10: 9987735118 |
| ISBN-13: 9789987735112 |