Kitabu kinamlenga kila mwamini anayetambua na kumwamini Yesu Kristo kama mwana wa Mungu, Mwokozi wa maisha yake na nafsi ya pili ya Mungu. Kwahiyo basi, kinawalenga watu wa marika yote: watoto, vijana, watu wa makamo na wazee
| Author: Dominique Nothomb M. Afr |
| Publisher: Mapema Books |
| Publication Date: 42597 |
| Number of Pages: 220 pages |
| Binding: Religion |
| ISBN-10: 9987912397 |
| ISBN-13: 9789987912391 |