Urim Books USA
Juu ya Mambo Kama Hayo Hakuna Sheria(Swahili Edition)
Product Code:
9791126311408
ISBN13:
9791126311408
Condition:
New
$13.55
Juu ya Mambo Kama Hayo Hakuna Sheria(Swahili Edition)
$13.55
Roho Mtakatifu anapoingia katika mioyo yetu, hutusaidia kuelewa mambo ya ndani ya Mungu na kuishi kwa Neno la Mungu. Kwa mfano, anapokuwepo mtu ambaye hawezi kusamehe, hutukumbusha kuhusu msamaha na upendo wa Bwana na hutusaidia kumsamehe mtu huyo. Kisha, tunaweza kuufukuza uovu kwa haraka kutoka katika mioyo yetu na kuingiza wema na upendo. Katika njia hii, kadri tunavyozaa matunda ya Roho Mtakatifu kwa kupitia mwongonzo wa Roho Mtakatifu, hatutafurahia uhuru katika kweli tu lakini pia tutapokea upendo na baraka za Mungu zinazofurika.
| Author: Jaerock Lee |
| Publisher: Urim Books USA |
| Publication Date: Aug 26, 2023 |
| Number of Pages: 210 pages |
| Binding: Paperback or Softback |
| ISBN-10: NA |
| ISBN-13: 9791126311408 |