Skip to main content

Urim Books USA

Juu ya Mambo Kama Hayo Hakuna Sheria(Swahili Edition)

No reviews yet
Product Code: 9791126311408
ISBN13: 9791126311408
Condition: New
$13.55

Juu ya Mambo Kama Hayo Hakuna Sheria(Swahili Edition)

$13.55
 

Roho Mtakatifu anapoingia katika mioyo yetu, hutusaidia kuelewa mambo ya ndani ya Mungu na kuishi kwa Neno la Mungu. Kwa mfano, anapokuwepo mtu ambaye hawezi kusamehe, hutukumbusha kuhusu msamaha na upendo wa Bwana na hutusaidia kumsamehe mtu huyo. Kisha, tunaweza kuufukuza uovu kwa haraka kutoka katika mioyo yetu na kuingiza wema na upendo. Katika njia hii, kadri tunavyozaa matunda ya Roho Mtakatifu kwa kupitia mwongonzo wa Roho Mtakatifu, hatutafurahia uhuru katika kweli tu lakini pia tutapokea upendo na baraka za Mungu zinazofurika.




Author: Jaerock Lee
Publisher: Urim Books USA
Publication Date: Aug 26, 2023
Number of Pages: 210 pages
Binding: Paperback or Softback
ISBN-10: NA
ISBN-13: 9791126311408
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day