
Urim Books USA
Upendo: Utimilifu wa Sheria(Swahili Edition): Utimilifu wa Sheria(
Product Code:
9791126312252
ISBN13:
9791126312252
Condition:
New
$13.55

Upendo: Utimilifu wa Sheria(Swahili Edition): Utimilifu wa Sheria(
$13.55
Neno 'Sheria' linatokana na neno la Kiebrania 'Torah', ambalo maana yake ni 'maagizo', na 'somo'. Torah kwa kawaida linarejelea Pentatuki (vitabu vitano vya Biblia) vinavyojumuisha Amri Kumi. Lakini, "Sheria" pia linerejelea vitabu 66 vya Biblia kwa jumla, au yale maagizo ya Mungu anapotuambia cha kufanya, cha kutofanya, cha kuweka, au kutupilia mbali mambo fulani. Huenda watu wakafikiria kwamba Sheria na upendo havihusiani, lakini haviwezi kutenganishwa. Upendo ni wa Mungu, na pasipo kumpenda Mungu hatuwezi kuifuata Sheria kikamilifu. Sheria inaweza kutimizwa tu tunapoifuata kwa upendo.
Author: Jaerock Lee |
Publisher: Urim Books USA |
Publication Date: Oct 19, 2023 |
Number of Pages: 210 pages |
Binding: Paperback or Softback |
ISBN-10: NA |
ISBN-13: 9791126312252 |