Skip to main content

Urim Books USA

Upendo: Utimilifu wa Sheria(Swahili Edition): Utimilifu wa Sheria(

No reviews yet
Product Code: 9791126312252
ISBN13: 9791126312252
Condition: New
$13.55

Upendo: Utimilifu wa Sheria(Swahili Edition): Utimilifu wa Sheria(

$13.55
 

Neno 'Sheria' linatokana na neno la Kiebrania 'Torah', ambalo maana yake ni 'maagizo', na 'somo'. Torah kwa kawaida linarejelea Pentatuki (vitabu vitano vya Biblia) vinavyojumuisha Amri Kumi. Lakini, "Sheria" pia linerejelea vitabu 66 vya Biblia kwa jumla, au yale maagizo ya Mungu anapotuambia cha kufanya, cha kutofanya, cha kuweka, au kutupilia mbali mambo fulani. Huenda watu wakafikiria kwamba Sheria na upendo havihusiani, lakini haviwezi kutenganishwa. Upendo ni wa Mungu, na pasipo kumpenda Mungu hatuwezi kuifuata Sheria kikamilifu. Sheria inaweza kutimizwa tu tunapoifuata kwa upendo.




Author: Jaerock Lee
Publisher: Urim Books USA
Publication Date: Oct 19, 2023
Number of Pages: 210 pages
Binding: Paperback or Softback
ISBN-10: NA
ISBN-13: 9791126312252
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day