Urim Books USA
Nchi Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition)
Product Code:
9791126312597
ISBN13:
9791126312597
Condition:
New
$14.24
Nchi Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition)
$14.24
Tunapoangalia utaratibu huo wa Kutoka, miaka arobaini nyikani, kuvuka Mto wa Yordani na kushinda mji wa Yeriko na kisha Nchi ya Kanaani, tunaweza kuona safari ya maisha ya kupokea wokovu na kusonga mbele kuelekea ufalme wa mbinguni. Mungu aliwatoa Waisraeli kutoka Misri na akawaongoza hadi Nchi ya Kanaani, Itiririkayo maziwa na asali. Vivyo hivyo, anataka kila mtu awe na imani ya kweli na afurahie pumziko la milele katika ufalme mzuri wa mbinguni. Zaidi ya hayo, anataka kila mmoja wetu awe na imani inayompendeza Mungu ili tuweze kupokea majibu ya kila kitu tunachoomba na tufanye mambo yote kwa uwezo wake.
| Author: Jaerock Lee |
| Publisher: Urim Books USA |
| Publication Date: 45344 |
| Number of Pages: 226 pages |
| Binding: Religion |
| ISBN-10: |
| ISBN-13: 9791126312597 |