Skip to main content

Urim Books USA

Nchi Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition)

No reviews yet
Product Code: 9791126312597
ISBN13: 9791126312597
Condition: New
$14.24

Nchi Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition)

$14.24
 
Tunapoangalia utaratibu huo wa Kutoka, miaka arobaini nyikani, kuvuka Mto wa Yordani na kushinda mji wa Yeriko na kisha Nchi ya Kanaani, tunaweza kuona safari ya maisha ya kupokea wokovu na kusonga mbele kuelekea ufalme wa mbinguni.

Mungu aliwatoa Waisraeli kutoka Misri na akawaongoza hadi Nchi ya Kanaani, Itiririkayo maziwa na asali. Vivyo hivyo, anataka kila mtu awe na imani ya kweli na afurahie pumziko la milele katika ufalme mzuri wa mbinguni. Zaidi ya hayo, anataka kila mmoja wetu awe na imani inayompendeza Mungu ili tuweze kupokea majibu ya kila kitu tunachoomba na tufanye mambo yote kwa uwezo wake.





Author: Jaerock Lee
Publisher: Urim Books USA
Publication Date: 45344
Number of Pages: 226 pages
Binding: Religion
ISBN-10:
ISBN-13: 9791126312597
 

Customer Reviews

This product hasn't received any reviews yet. Be the first to review this product!

Faster Shipping

Delivery in 3-8 days

Easy Returns

14 days returns

Discount upto 30%

Monthly discount on books

Outstanding Customer Service

Support 24 hours a day